Darubini ya Kiswahili KCSE (Phoenix)

KSh 870.00

Darubini ya Kiswahili Marudio Kamili ya KCSE (Phoenix)

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Darubini ya Kiswahili, Marudio Kamili ya KCSE, ni kitabu kilichoandikwa kwa utaalamu mwingi kumwezesha mwanafunzi kujitayarisha vilivyo kwa mtihani wa Kiswahili katika KCSE. Karatasi zote tatu (Insha, Lugha na Fasihi) zimeshughulikiwa kupitia:


Mapitio ya kina ya kila kimojawapo cha vipengele vyote vya silabasi mpya ya Kiswahili


Mifano ya matumizi ya kila kipengele


Mazoezi yanayolenga kumwelekeza mwanafunzi kufahamu yanayoshughulikiwa


Maswali yanayotahini mahitaji yote ya silabasi, pakiwepo pia majibu yake


Mitihani mwigo inayomwelekeza mwanafunzi kufahamu kitakachohitajika kwake katika mtihani wa mwisho.

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.