Sale!

Bahati Apona na Hadithi Nyingine 6a (Queenex)

Original price was: KSh 381.15.Current price is: KSh 320.00.

Bahati Apona na Hadithi Nyingine 6a (Queenex)

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Queenex hadithi za ziada
ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.

Kitabu hiki, ni cha wanafunzi wa
Gredi ya Sita
na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuka. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki nic + Viungo vya Mwili vya Ndani + Mahusiano Misimu

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.