Sale!

Bendi ya Muziki na Hadithi Nyingine lvl 3a (Queenex)

Original price was: KSh 371.75.Current price is: KSh 290.00.

Bendi ya Muziki na Hadithi Nyingine lvl 3a (Queenex)

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.

Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya Tatu na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni:

? Shambani

? Uzalendo

? Miezi ya mwaka

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.