Sale!

Bidii ya maria na Musa (Longhorn)

Original price was: KSh 296.24.Current price is: KSh 234.00.

Longhorn hadithi bidii ya maria na musa

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Maria ni mwanafunzi mwenye bidii masomoni. Akiwa pamoja na rafiki yake Musa, wanawasaidia wanafunzi wenzao kusoma darasani. Mwalimu wao pamoja na wanafunzi wanawashangilia. Je, Maria na Musa wanawafundisha wenzao somo lipi?

Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.