Sale!

Darubini ya Sarufi

Original price was: KSh 754.00.Current price is: KSh 603.20.

Darubini ya Sarufi: Ufafanuzi Kamili wa Sarufi

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Sarufi ndio uti wa mgongo wa lugha. Kwa mtazamo wake na kinachostahili kufunzwa katika ngazi tofauti umekuwa ukibadilika haraka. Matokeo yamekuwa utata mwingi unaowakumba wanafunzi na kwa kiasi fulani waalimu wao. Darubini ya Sarufi kimeandikwa kwa madhumuni ya kushughulikia utata huu na kuboresha matumizi sanifu ya sarufi ya Kiswahili. Pamoja na maelezo na mifano maridhawa, kumetolewa pia mazoezi ya kutosha ya kumsaidia mwenye kukitumia kujitathmini. Kitabu hiki kitakuwa chenye manufaa kwa wanafunzi wa shule za upili na vyuo anuwai. Vilevile kitamfaa mpenzi yeyote wa lugha ya Kiswahili aliye na maswali kuihusu sarufi ya Kiswahili.

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.