Sale!

Darubini ya Utunzi

Original price was: KSh 597.00.Current price is: KSh 477.60.

Darubini ya Utunzi Insha na Tungo Amilifu

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Uandishi ni stadi inayohitajika popote tulipo maishani. Barua,memoranda, kumbukumbu na ripoti rasmi, miongoni mwa mengine, ni maandishi yanayohitajika kila siku katika mwahali
mwa kazi. Licha ya kumwelekeza mwanafunzi katika kila aina ya uandishi
unaohitajika katika kujitayarisha kwa KCSE, Darubini ya Utunzi pia kinamtayarisha kwa maisha ya baadaye. Kinapiga darubini mahitaji yote ya uandishi, tangu insha hadi uchambuzi wa fasihi, 
na kitazifaa sana shule za upili na vyuo vya walimu. Vilevile, ni utangulizi muhimu kwa wanafunzi wa Kiswahili
katika miaka ya awali ya chuo kikuu.
Dkt. John Habwe ni mhadhiri Mwandamizi wa Isimu na Lugha katika Chuo Kikuu cha Nairobi, ambako alijipatia shahada za B.A, M.A na Ph.D. 
Licha ya kuwa ameifunza lugha na fasihi ya Kiswahili katika ngazi tofauti, ni mwandishi mtajika wa
riwaya, hadithi fupi na vitabu juu ya ufundi wa lugha.
 

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.