Sale!

Hadithi za Chekechea : Mpira wa Lisa na Hadithi Nyingine (Queenex)

Original price was: KSh 290.00.Current price is: KSh 232.00.

Hadithi za Chekechea : Mpira wa Lisa na Hadithi Nyingine (Queenex)

Add to Wishlist
Add to Wishlist

Description

Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kucumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.

Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Chekechea na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umitisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni:

-Ujirani Wetu
-Wanyama wa nyumbani

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.