Sale!

Kitabu changu cha Kiswahili (Queenex)

Original price was: KSh 390.00.Current price is: KSh 312.00.

Kitabu changu cha Kiswahili (Queenex)

Add to Wishlist
Add to Wishlist

Description

Kitabu hiki kimeandikwa nu mwandishi mwenye tajriba pana ya kufundishc katika Shule za Chekechea nchini Kenya. Muundo wa kitabu hiki utamsaidia mwanafunzi kupata msingi imam wa elimu ya kiwango cha Chekechea. Mwanafunzi anahakikishiwa stadi muhimu zinazohitajika katika kujenga msingi dhabiti masomoni. Kitabu hiki kitamsaidia mwanafunzi:

  • Kusoma vokali
  • Kusoma silabi za vokali
  • Kulinganisha picha na jina
  • Kuchora picha ya jina
  • Kutunga sentesi kutokana no picha Vitabu vingine katika msururu huu ni:
  • Kujaza nafasi kwa vokali
  • Kutunga maneno kwa vokali na silabi
  • Kuandika maneno vizuri
  • Kutunga sentesi kwa maneno
  • Kinyume, Tarakimu na Wingi

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.