Sale!

Kosa la Marehemu Lvl 7c (Longhorn)

Original price was: KSh 452.67.Current price is: KSh 370.00.

Kosa la Marehemu 7c

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Kakake Mshindo anapoenda kuishi mjini, wazazi wake wanafurahi sana kwani sasa matatizo yao mengi ya kifedha yatasuluhishwa. Kumbe ni kinaya tu! Janga, kakake Mshindo amefanya kosa na hivyo kuiongezea mzigo familia yake. Watu wanamtenga na wazazi wake wanapatwa na hofu mpaka pale Mshindo anapoamua kuupata ukweli kuhusu kosa la nduguye. Hatimaye, anampa radhi kakake. Pia anawapa radhi wanajamii kwa kumnyanyapaa nduguye, kisha anaanza kupigania mwelekeo na mtazamo mpya wa maisha. Lakini radhi ya Mshindo inapatikana tu baada ya kudadisi ukweli wa mambo! Ni kweli marehemu alifanya kosa au yeye ndiye aliyekosewa?

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.