Sale!

Riwaya ya Kiswahili (Phoenix)

Original price was: KSh 825.11.Current price is: KSh 638.00.

Riwaya ya Kiswahili

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Mwanazuoni anayetaka kuzama, kuchimba na kuchambua masuala muhimu yanayohusu Riwaya ya Kiswahili atakuwa amezima kiu yake baada ya kuchota kutoka kisima hiki chenye maji mengi, matamu na yaliyo salama. Ama kwa kubuni na kuandika kitabu hiki, Profesa Joshua Madumulla wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Tanzania amevinjari uwanja mzima wa Riwaya ya Kiswahili na

kutoa ufafanuzi ulio murua ikiwa ni pamoja na maana yake, historia yake, aina zake mbalimbali na misingi ya uchambuzi wake. Hiki ni kitabu cha kwanza cha aina yake kinachokidhi haja iliryokuwepo ya ufafanuzi wa Riwaya ya Kiswahili ikiwalenga wanazuoni wa elimu ya juu hususani wale walio katika vyuo vikuu.

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.