Sale!

Safari ya Peponi (Queenex) (Queenex)

Original price was: KSh 437.10.Current price is: KSh 350.00.

Safari ya Peponi (Queenex)

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Mimi Bendera ni kijana wa familia tajiri na tunaishi jijini. Baba yangu Mzee Mwinyi Mapesa ameahidi kunipeleka mahali fulani anapopasifia sana paitwapo Peponi iwapo nitafanya vyema masomoni, jambo ambalo ninamuahidi nitalitimiza. Baada ya kuhamia mashambani, natunga urafiki na kijana anayeitwa Makata. Makata ni kijana safihi na mtundu ajabu. Ninapomtajia kuhusu Peponi, kumbe anapajua! Kwa kuwa baba amekawisha ahadi yake, Makata ana mpango wa kunipeleka Peponi na safari inaanza. Ni safari ndefu inayotulazimu tuvuke mpaka wa nchi. Je, Peponi ni wapi hasa? Ni mahali pa dhana ama ni pa ukweli na ni nini hasa cha mno kilicho huko Peponi? Je, nitafikishwa Peponi na Makata au na baba? Je, baba yangu ananipenda kuliko ndugu zangu jinsi anavyonisisitizia? Upo uhusiano gani baina ya baba, Ngoma na genge lake?

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.