Sale!

Sarufi Fafanuzi ya Kiswahili

Original price was: KSh 963.00.Current price is: KSh 770.40.

Sarufi Fafanuzi ya Kiswahili

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Sarufi ndio uti wa mgongo wa lugha. Kufahamu lugha ni kufahamu sarufi yake. Sarufi Fafanuzi ya Kiswahili kinafuatilia silabasi ya lugha ya Kiswahili kwa shule za sekondari na kushughulikia matawi muhimu ya sarufi kwa mapana na marefu. Haya ni kama vile aina za maneno, ngeli za nomino, vitenzi n.k. Ufafanuzi na matumizi mwafaka yamefanya yaliyomo kueleweka kwa urahisi. Vile vile mambo muhimu yanayozingatiwa katika vyuo vya walimu na vyuo vikuu yameshughulikiwa kwa kirefu. Bila shaka wale watakaokitumia kitabu hiki watanufaika vilivyo.

Baada ya kufuzu katika Chuo…Kikuu cha Nairobi, Gichohi Waihiga alifunza katika shule na vyuo kadhaa nchini Kenya kama vile Shule ya Upili ya Aga Khan (Nairobi), Chuo cha Walimu cha Kagumo na Chuo cha Walimu cha Kisii. Kwa sasa yeye ni mtayarishi wa vipindi vya kielimu kwa njia ya redio na televisheni katika Idara ya Huduma za Elimu kupitia Vyombo vya Habari (EMS), katika Taasisi ya Elimu ya Kenya. (ME).

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.