Sale!

Utelezi (Queenex)

Original price was: KSh 607.76.Current price is: KSh 490.00.

Utelezi (Queenex)

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Mhandisi Maselu ni mfano bora wa mwanataaluma ambaye amefanikiwa kujinyanyua kiuchumi kwa kuegemea maadili na

mwenendo wa uwazi na uwajibikaji kazini na katika familia yake. Mwanawe Tony anamhusudu babake na kufanya juu chini kufuata nyayo zake. Lakini tajiriba anazokumbana nazo maishani zinamfunza kwamba dunia rangi rangile. Maisha hayatabiriki, na kamwe, binadamu hana uwezo wa kuyadhibiti na kuyaelekeza apendavyo. Tunaelezwa hadithini:

?Yote aliyotumai kufanikisha yalimponyoka kama tufe lililopakwa mafuta na kutoweza kushikika mikononi. Kupata ajira likawa jambo lenye utelezi ambao kamwe hakuutarajia?.

Nini hatima ya Tony Maselu katika hali hii? Isome riwaya hii ya kusisimua upate jawabu la swali hili.

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.