Sale!

Jua na Upepo (Phoenix)

Original price was: KSh 289.18.Current price is: KSh 232.00.

Jua na Upepo (Phienix)

Add to Wishlist
Add to Wishlist
Category: Brand:

Description

Masimulizi haya ya kusisimua yameandikwa hasa kwa watoto wa Madarasa ya kwanza katika shule za Afrika Mashariki. ANNE MATINDI ambaye alikusanya hadithi hizi ambazo zilitolewa katika lugha ya Kiingereza mwanzoni ni mojawapo ya mabibi wanaoji-shughulisha na uandishi wenye hadithi za kikwetu, nazo hutolewa na shirika la Phoenix Publishers Ltd. kwa manufaa ya wanashule wa Afrika ya Mashariki. Yamefasiriwana Fred Jim Mdoe katika lugha ya Kiswahili.

Reviews

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

For those who enjoy instant bonuses and cashback, House of Jack has one of the best programs online.